Waamuzi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi wana wa Israeli wakafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao,+ wakatumikia Mabaali+ na miti mitakatifu.+ Zaburi 106:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Nao waliendelea kutumikia sanamu zao,+Nazo zikawa mtego kwao.+
7 Basi wana wa Israeli wakafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao,+ wakatumikia Mabaali+ na miti mitakatifu.+