Kutoka 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Utakaa mbali na neno la uwongo.+ Nawe usimuue mtu asiye na hatia na yule aliye mwadilifu, kwa maana sitamtangaza mwovu kuwa mwadilifu.+ Waamuzi 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi ndugu za mama yake wakaanza kusema maneno hayo yote kumhusu yeye masikioni mwa wenye mashamba wote wa Shekemu, na mioyo yao ikaelekea kwa Abimeleki,+ kwa maana walisema: “Yeye ni ndugu yetu.”+
7 “Utakaa mbali na neno la uwongo.+ Nawe usimuue mtu asiye na hatia na yule aliye mwadilifu, kwa maana sitamtangaza mwovu kuwa mwadilifu.+
3 Basi ndugu za mama yake wakaanza kusema maneno hayo yote kumhusu yeye masikioni mwa wenye mashamba wote wa Shekemu, na mioyo yao ikaelekea kwa Abimeleki,+ kwa maana walisema: “Yeye ni ndugu yetu.”+