4 Naye atakimbilia+ moja la majiji hayo na kusimama hapo kwenye mwingilio wa lango+ la jiji na kusema maneno yake masikioni mwa wanaume wazee+ wa jiji hilo; nao watampokea kwao ndani ya jiji na kumpa mahali, akae pamoja nao.
14 Akiwa njiani, akamkamata kijana kutoka kwa watu wa Sukothi+ na kutafuta habari kutoka kwake.+ Basi akamwandikia majina ya wakuu+ wa Sukothi na wanaume wazee wake, watu 77.