Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 na Wahiti+ na Waperizi+ na Warefaimu+

  • Kutoka 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+

  • Yoshua 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na ikawa kwamba mara tu wafalme wote+ waliokuwa ng’ambo ya Yordani iliyo katika eneo lenye milima na katika Shefela na kando ya pwani yote ya ile Bahari Kuu+ na mbele ya Lebanoni,+ Wahiti+ na Waamori, Wakanaani,+ Waperizi,+ Wahivi na Wayebusi,+ waliposikia habari hizo,

  • Waamuzi 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na wana wa Israeli wakakaa katikati ya Wakanaani,+ Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+

  • 1 Wafalme 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na watu wote waliobaki kutoka kwa Waamori,+ Wahiti,+ Waperizi,+ Wahivi+ na Wayebusi,+ ambao hawakuwa sehemu ya wana wa Israeli,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki