2 Samweli 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mwishowe akawaambia watumishi wake: “Tazameni, sehemu ya shamba la Yoabu iliyo kando ya shamba langu, na hapo ana shayiri. Nendeni, mwiteketeze kwa moto.”+ Basi watumishi wa Absalomu wakaiteketeza kwa moto ile sehemu ya shamba.+
30 Mwishowe akawaambia watumishi wake: “Tazameni, sehemu ya shamba la Yoabu iliyo kando ya shamba langu, na hapo ana shayiri. Nendeni, mwiteketeze kwa moto.”+ Basi watumishi wa Absalomu wakaiteketeza kwa moto ile sehemu ya shamba.+