Kutoka 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Moto ukienea na kushika miiba, nayo miganda au nafaka inayosimama au shamba liteketee,+ yule aliyeuanzisha moto huo lazima alipie kilichoteketea. Waamuzi 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo akaiwasha moto ile mienge na kuwapeleka mbweha hao katika mashamba ya Wafilisti ya nafaka inayosimama. Basi akawasha moto kila kitu kuanzia mganda mpaka nafaka inayosimama na mashamba ya mizabibu na mashamba ya mizeituni.+
6 “Moto ukienea na kushika miiba, nayo miganda au nafaka inayosimama au shamba liteketee,+ yule aliyeuanzisha moto huo lazima alipie kilichoteketea.
5 Ndipo akaiwasha moto ile mienge na kuwapeleka mbweha hao katika mashamba ya Wafilisti ya nafaka inayosimama. Basi akawasha moto kila kitu kuanzia mganda mpaka nafaka inayosimama na mashamba ya mizabibu na mashamba ya mizeituni.+