15 Ndipo Yoshua akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watu wengi sana, nendeni msituni, mjikatie huko katika nchi ya Waperizi+ na Warefaimu,+ kwa sababu eneo lenye milima+ la Efraimu limekuwa jembamba mno kwenu.”
10Na baada ya Abimeleki, akasimama Tola mwana wa Pua, mwana wa Dodo, mtu wa Isakari, ili kuwaokoa+ Israeli, naye alikuwa akikaa Shamiri katika eneo lenye milima la Efraimu.+