17 Ndipo Mungu akaisikia sauti ya huyo mvulana,+ na malaika wa Mungu akamwita Hagari kutoka mbinguni na kumwambia:+ “Una nini, Hagari? Usiogope, kwa sababu Mungu amesikiliza sauti ya huyo mvulana pale alipo.
28 Na mfalme akaendelea kumwambia tena: “Una nini?” Kwa hiyo mwanamke huyo akasema: “Huyu mwanamke aliniambia, ‘Mtoe mwana wako ili tumle leo, na mwanangu tutamla kesho.’+