16 Naye Ruthu akasema: “Usiniombe nikuache, nigeuke nisifuatane nawe; kwa maana uendako nitaenda, na mahali utakapokaa usiku kucha nitakaa.+ Watu wako watakuwa watu wangu,+ na Mungu wako Mungu wangu.+
22 Hivyo ndivyo alivyorudi Naomi pamoja na Ruthu Mmoabu, binti-mkwe wake, walipokuwa wakirudi kutoka katika nyanda za Moabu;+ nao wakafika Bethlehemu+ mwanzoni mwa mavuno ya shayiri.+