13 Kutoka huko wakasafiri na kupiga kambi katika eneo la Arnoni,+ lililo katika nyika inayosambaa kutoka katika mpaka wa Waamori; kwa maana Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.
1Basi ikawa katika siku ambazo waamuzi+ walitekeleza haki, njaa+ ikatokea nchini, na mwanamume mmoja akatoka Bethlehemu+ katika Yuda, akakae akiwa mgeni katika nchi ya Moabu,+ yeye na mke wake na wanawe wawili.