Ayubu 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, hekima haimo katikati ya wazee+Na uelewaji katika wingi wa siku? Methali 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Njia ya mpumbavu ni sawa machoni pake,+ lakini anayesikiliza shauri ni mwenye hekima.+ 1 Wakorintho 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Msipotoshwe. Mashirika mabaya huharibu tabia nzuri.+ Tito 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Vivyo hivyo wanawake wenye umri mkubwa+ wawe wenye tabia ya kumhofu Mungu, si wachongezi,+ wala si watumwa wa divai nyingi sana, wawe walimu wa yaliyo mema;
3 Vivyo hivyo wanawake wenye umri mkubwa+ wawe wenye tabia ya kumhofu Mungu, si wachongezi,+ wala si watumwa wa divai nyingi sana, wawe walimu wa yaliyo mema;