Kumbukumbu la Torati 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Akina baba wasiuawe kwa sababu ya watoto, na watoto wasiuawe kwa sababu ya akina baba.+ Kila mmoja atauawa kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.+ 1 Samweli 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nawe kwa kweli utamwona adui katika makao yangu kati ya mema yote yanayofanyiwa Israeli;+ wala hakutakuwako kamwe na mzee katika nyumba yako.
16 “Akina baba wasiuawe kwa sababu ya watoto, na watoto wasiuawe kwa sababu ya akina baba.+ Kila mmoja atauawa kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.+
32 Nawe kwa kweli utamwona adui katika makao yangu kati ya mema yote yanayofanyiwa Israeli;+ wala hakutakuwako kamwe na mzee katika nyumba yako.