Yoshua 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikawa kwamba mwanamke huyo alipokuwa akienda nyumbani, aliendelea kumchochea mume wake aombe shamba kutoka kwa baba-mkwe wake. Ndipo mwanamke huyo akapiga makofi akiwa juu ya punda. Naye Kalebu akamwambia: “Unataka nini?”+ 2 Wafalme 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi akamtandika yule punda-jike+ na kumwambia mtumishi wake: “Endesha punda, uende mbele. Kwa ajili yangu usiache kuendesha isipokuwa nikuambie hivyo.”
18 Na ikawa kwamba mwanamke huyo alipokuwa akienda nyumbani, aliendelea kumchochea mume wake aombe shamba kutoka kwa baba-mkwe wake. Ndipo mwanamke huyo akapiga makofi akiwa juu ya punda. Naye Kalebu akamwambia: “Unataka nini?”+
24 Basi akamtandika yule punda-jike+ na kumwambia mtumishi wake: “Endesha punda, uende mbele. Kwa ajili yangu usiache kuendesha isipokuwa nikuambie hivyo.”