Methali 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtu mpumbavu ndiye hujulisha kinachomuudhi siku hiyohiyo,+ lakini mwerevu hufunika aibu.+ Methali 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yule anayekasirika upesi atatenda upumbavu,+ lakini mtu mwenye uwezo wa kufikiri huchukiwa.+ Methali 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usimjibu mtu yeyote mjinga kulingana na upumbavu wake, ili wewe nawe usiwe sawa na yeye.+ Waroma 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Usiache ushindwe na uovu, bali endelea kuushinda uovu kwa wema.+