Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na tazama! nitamtuma mtumishi, nikisema, ‘Nenda, tafuta ile mishale.’ Nikimwambia mtumishi waziwazi hivi, ‘Tazama! Mishale iko upande huu wako, ichukue,’ ndipo uje, kwa maana hilo linamaanisha amani kwako, wala hakuna jambo, kama Yehova anavyoishi.+

  • Yeremia 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Na itatukia kwamba ikiwa kwa hakika watajifunza njia za watu wangu katika kuapa kwa jina langu,+ ‘Kama anavyoishi Yehova!’ kama walivyowafundisha watu wangu kuapa kwa Baali,+ wao pia watajengwa katikati ya watu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki