Kutoka 14:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Naye akawa akiyaondoa magurudumu kutoka kwenye magari yao hivi kwamba wakawa wakiyaendesha kwa shida;+ nao Wamisri wakaanza kusema: “Na tukimbie tusikaribie Israeli hata kidogo, kwa sababu hakika Yehova anawapigania dhidi ya Wamisri.”+ Kutoka 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Vikundi vya watu vitasikia,+ vitafadhaika;+Uchungu wa kuzaa+ utawashika wakaaji wa Ufilisti.
25 Naye akawa akiyaondoa magurudumu kutoka kwenye magari yao hivi kwamba wakawa wakiyaendesha kwa shida;+ nao Wamisri wakaanza kusema: “Na tukimbie tusikaribie Israeli hata kidogo, kwa sababu hakika Yehova anawapigania dhidi ya Wamisri.”+