Kutoka 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo, kwa kweli nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ naye hakika atawafuatilia wao nami nitajipatia utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote;+ nao Wamisri watajua hakika kwamba mimi ni Yehova.”+ Basi wakafanya vivyo hivyo. Kumbukumbu la Torati 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Msiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wenu Ndiye anayewapigania ninyi.’+ 1 Samweli 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ole wetu! Ni nani atakayetuokoa kutoka katika mkono wa huyu Mungu mtukufu? Huyu ndiye Mungu aliyepiga Misri kwa kila namna ya mauaji katika nyika.+
4 Kwa hiyo, kwa kweli nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ naye hakika atawafuatilia wao nami nitajipatia utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote;+ nao Wamisri watajua hakika kwamba mimi ni Yehova.”+ Basi wakafanya vivyo hivyo.
8 Ole wetu! Ni nani atakayetuokoa kutoka katika mkono wa huyu Mungu mtukufu? Huyu ndiye Mungu aliyepiga Misri kwa kila namna ya mauaji katika nyika.+