Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “‘Nacho hiki ndicho kisicho safi kwenu kati ya viumbe vinavyozaana kwa wingi ambavyo hujaa duniani:+ fuko na panya anayeruka+ na mjusi kulingana na aina yake,

  • 1 Samweli 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na wale panya wa dhahabu walilingana na hesabu ya majiji yote ya Wafilisti ya wale wakuu watano wa muungano, kuanzia jiji lenye ngome mpaka kijiji cha nchi iliyo wazi.

      Na lile jiwe kubwa ambalo juu yake waliweka sanduku la Yehova ni ushahidi mpaka leo hii katika shamba la Yoshua, Mbeth-shemeshi.

  • Isaya 66:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wale wanaojitakasa na kujisafisha kwa ajili ya bustani+ zilizo nyuma ya mtu katikati, wakila nyama ya nguruwe+ na kitu chenye kuchukiza, panya anayeruka,+ wote wataufikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki