Waamuzi 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nao wakaanza kuiondoa miungu ya kigeni kutoka katikati yao,+ na kumtumikia Yehova,+ hivi kwamba nafsi+ yake ikawa haina subira kwa sababu ya taabu ya Israeli.+
16 Nao wakaanza kuiondoa miungu ya kigeni kutoka katikati yao,+ na kumtumikia Yehova,+ hivi kwamba nafsi+ yake ikawa haina subira kwa sababu ya taabu ya Israeli.+