14 Basi Yakobo akasimamisha nguzo katika mahali alipokuwa amesema naye,+ nguzo ya mawe, naye akamimina toleo la kinywaji juu yake na kumimina mafuta juu yake.+
9 Pia kulikuwa na mawe kumi na mawili ambayo Yoshua alipanga katikati ya Yordani katika mahali pale iliposimama+ miguu ya wale makuhani waliochukua sanduku la agano, nayo yangali hapo mpaka leo hii.
26 Ndipo Yoshua akaandika maneno hayo katika kitabu cha sheria ya Mungu,+ akachukua jiwe kubwa,+ akalisimamisha hapo chini ya ule mti mkubwa+ sana ulio kando ya patakatifu pa Yehova.