15 Kisha Esau akasema: “Tafadhali, acha niweke chini ya mamlaka yako baadhi ya watu walio pamoja nami.” Naye akajibu, akasema: “Kwa nini hivyo? Acha nipate kibali machoni pa bwana wangu.”+
13 Basi akasema: “Acha nipate kibali machoni pako, bwana wangu, kwa sababu umenifariji na kwa sababu umesema kwa kumtuliza mjakazi wako,+ ingawa mimi mwenyewe huenda nisiwe kama mmoja wa wajakazi wako.”+