Mwanzo 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo akamimina upesi maji ya mtungi wake ndani ya chombo cha kunyweshea wanyama naye akakimbia tena na tena kisimani ili kuteka maji,+ akaendelea kuteka kwa ajili ya ngamia zake wote. Kutoka 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa kuhani+ wa Midiani alikuwa na binti saba, na kama kawaida wakaja kuteka maji na kuijaza mifereji ili kulinywesha kundi la baba yao.+
20 Kwa hiyo akamimina upesi maji ya mtungi wake ndani ya chombo cha kunyweshea wanyama naye akakimbia tena na tena kisimani ili kuteka maji,+ akaendelea kuteka kwa ajili ya ngamia zake wote.
16 Sasa kuhani+ wa Midiani alikuwa na binti saba, na kama kawaida wakaja kuteka maji na kuijaza mifereji ili kulinywesha kundi la baba yao.+