16 mbali na maandikisho ya kiukoo+ ya wanaume wenye umri wa kuanzia miaka mitatu na zaidi,+ kati ya wale wote wanaoingia katika nyumba ya Yehova kama desturi ya kila siku, kwa ajili ya utumishi wao kulingana na wajibu wao kufuatana na migawanyo yao.
9 Mtu atamfundisha nani ujuzi,+ na mtu atamfanya nani aelewe yale ambayo yamesikiwa?+ Je, ni wale ambao wameachishwa kunyonya, wale walioondolewa kwenye maziwa?+