22 Na wale mia tatu+ wakaendelea kupiga baragumu,+ na Yehova akatia upanga wa kila mmoja juu ya mwenzake katika kambi yote;+ na kambi ikaendelea kukimbia hadi Beth-shita, hadi Serera, hadi kwenye mipaka ya Abel-mehola+ kando ya Tabathi.
23 Na wana wa Amoni na Moabu wakasimama kushambulia wakaaji wa eneo lenye milima la Seiri+ ili kuwaangamiza na kuwaharibu; na mara tu walipowamaliza wakaaji wa Seiri, wakasaidiana kuangamizana wao kwa wao.+
2 “Nami nitawachochea Wamisri juu ya Wamisri, nao hakika watapigana kila mmoja na ndugu yake, na kila mmoja na mwenzake, jiji juu ya jiji, ufalme juu ya ufalme.+
21 “ ‘Nami nitaita upanga juu yake kotekote katika eneo langu lote lenye milima,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Upanga wa kila mmoja utakuwa juu ya ndugu yake.+