1 Samweli 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi palikuwa na mtu wa Benyamini, na jina lake lilikuwa Kishi,+ mwana wa Abieli, mwana wa Zerori, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia, Mbenyamini,+ mtu mwenye nguvu ya mali.+ 1 Mambo ya Nyakati 9:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Neri+ naye akamzaa Kishi;+ naye Kishi akamzaa Sauli;+ naye Sauli akamzaa Yonathani+ na Malki-shua+ na Abinadabu+ na Eshbaali.+ Matendo 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini tangu hapo na kuendelea wakadai mfalme,+ na Mungu akawapa Sauli mwana wa Kishi, mwanamume wa kabila la Benyamini,+ kwa miaka 40.
9 Basi palikuwa na mtu wa Benyamini, na jina lake lilikuwa Kishi,+ mwana wa Abieli, mwana wa Zerori, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia, Mbenyamini,+ mtu mwenye nguvu ya mali.+
39 Neri+ naye akamzaa Kishi;+ naye Kishi akamzaa Sauli;+ naye Sauli akamzaa Yonathani+ na Malki-shua+ na Abinadabu+ na Eshbaali.+
21 Lakini tangu hapo na kuendelea wakadai mfalme,+ na Mungu akawapa Sauli mwana wa Kishi, mwanamume wa kabila la Benyamini,+ kwa miaka 40.