7 wakati majeshi ya mfalme wa Babiloni yalipokuwa yakipiga vita juu ya Yerusalemu na juu ya majiji yote ya Yuda ambayo yalikuwa yamebaki,+ juu ya Lakishi+ na juu ya Azeka;+ kwa maana hayo, majiji yenye ngome,+ ndiyo yaliyobaki kati ya majiji ya Yuda.+