22 Na wale mia tatu+ wakaendelea kupiga baragumu,+ na Yehova akatia upanga wa kila mmoja juu ya mwenzake katika kambi yote;+ na kambi ikaendelea kukimbia hadi Beth-shita, hadi Serera, hadi kwenye mipaka ya Abel-mehola+ kando ya Tabathi.
8 Basi mfalme akawachukua wale wana wawili wa Rispa+ binti ya Aya aliyemzalia Sauli, Armoni na Mefiboshethi, na wale wana watano wa Mikali+ binti ya Sauli ambao alimzalia Adrieli+ mwana wa Barzilai, Mmeholathi.