1 Samweli 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mikali,+ binti ya Sauli, alikuwa anampenda Daudi, nao wakamletea Sauli habari hiyo, na jambo hilo likampendeza. 1 Samweli 25:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Lakini Sauli alikuwa amemkabidhi Mikali+ binti yake, mke wa Daudi, kwa Palti+ mwana wa Laishi, aliyetoka Galimu.+ 2 Samweli 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Zaidi ya hayo, Daudi akatuma wajumbe kwa Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akisema: “Mtoe mke wangu Mikali, niliyemchumbia kwa magovi+ mia moja ya Wafilisti.” 2 Samweli 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi, kwa habari ya Mikali,+ binti ya Sauli, hakupata mtoto yeyote mpaka siku ya kifo chake.
20 Basi Mikali,+ binti ya Sauli, alikuwa anampenda Daudi, nao wakamletea Sauli habari hiyo, na jambo hilo likampendeza.
44 Lakini Sauli alikuwa amemkabidhi Mikali+ binti yake, mke wa Daudi, kwa Palti+ mwana wa Laishi, aliyetoka Galimu.+
14 Zaidi ya hayo, Daudi akatuma wajumbe kwa Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akisema: “Mtoe mke wangu Mikali, niliyemchumbia kwa magovi+ mia moja ya Wafilisti.”