Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Mikali,+ binti ya Sauli, alikuwa anampenda Daudi, nao wakamletea Sauli habari hiyo, na jambo hilo likampendeza.

  • 1 Samweli 25:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Lakini Sauli alikuwa amemkabidhi Mikali+ binti yake, mke wa Daudi, kwa Palti+ mwana wa Laishi, aliyetoka Galimu.+

  • 2 Samweli 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Zaidi ya hayo, Daudi akatuma wajumbe kwa Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akisema: “Mtoe mke wangu Mikali, niliyemchumbia kwa magovi+ mia moja ya Wafilisti.”

  • 2 Samweli 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi, kwa habari ya Mikali,+ binti ya Sauli, hakupata mtoto yeyote mpaka siku ya kifo chake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki