30 Nami nitalala pamoja na baba zangu,+ nawe unichukue toka Misri, unizike katika kaburi lao.”+ Basi akasema: “Mimi mwenyewe nitafanya kama ulivyosema.”
29 Kisha akawaamuru na kuwaambia: “Mimi ninakusanywa kwa watu wangu.+ Nizikeni pamoja na baba zangu katika pango lililo katika shamba la Efroni Mhiti,+
13 Kwa hiyo wanawe wakampeleka mpaka nchi ya Kanaani na kumzika katika pango la shamba la Makpela, shamba ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kutoka kwa Efroni Mhiti mbele ya Mamre+ ili awe na mahali pa kuzikia.