2 Samweli 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 mtu fulani aliponiletea habari,+ akisema, ‘Tazama, Sauli amekufa,’ naye machoni pake mwenyewe akawa kama mtu anayeleta habari njema, hata hivyo, mimi nilimkamata nikamuua+ katika Siklagi ingawa nilistahili kumpa ada ya mjumbe; 1 Wafalme 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mara moja Mfalme Sulemani akamtuma Benaya+ mwana wa Yehoyada; akamshambulia, naye akafa.+
10 mtu fulani aliponiletea habari,+ akisema, ‘Tazama, Sauli amekufa,’ naye machoni pake mwenyewe akawa kama mtu anayeleta habari njema, hata hivyo, mimi nilimkamata nikamuua+ katika Siklagi ingawa nilistahili kumpa ada ya mjumbe;