1 Mambo ya Nyakati 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Daudi akamuuliza+ tena Mungu wa kweli, na sasa Mungu wa kweli akamwambia: “Usipande kuwafuatilia. Zunguka uende, usiende moja kwa moja kuwashambulia, nawe uwajie mbele ya miti ya mibaka.+ Zaburi 84:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakipita katika nchi tambarare ya chini ya mibaka,+Wanaigeuza kuwa bubujiko;Naam, mfundishaji+ anajivika baraka.
14 Ndipo Daudi akamuuliza+ tena Mungu wa kweli, na sasa Mungu wa kweli akamwambia: “Usipande kuwafuatilia. Zunguka uende, usiende moja kwa moja kuwashambulia, nawe uwajie mbele ya miti ya mibaka.+
6 Wakipita katika nchi tambarare ya chini ya mibaka,+Wanaigeuza kuwa bubujiko;Naam, mfundishaji+ anajivika baraka.