Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Na wana wa Sauli wakawa ni Yonathani+ na Ishvi na Malki-shua,+ na majina ya binti zake wawili, jina la yule aliyezaliwa kwanza lilikuwa Merabu+ na jina la yule mdogo lilikuwa Mikali.+

  • 1 Samweli 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Mikali,+ binti ya Sauli, alikuwa anampenda Daudi, nao wakamletea Sauli habari hiyo, na jambo hilo likampendeza.

  • 1 Samweli 18:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa hiyo Daudi akaondoka pamoja na watu wake, akapiga+ watu mia mbili kati ya Wafilisti, na Daudi akaleta magovi yao,+ akampa mfalme hesabu yake kamili, ili kufanya mapatano ya ndoa na mfalme. Naye Sauli akampa Mikali binti yake awe mke wake.+

  • 2 Samweli 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Zaidi ya hayo, Daudi akatuma wajumbe kwa Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akisema: “Mtoe mke wangu Mikali, niliyemchumbia kwa magovi+ mia moja ya Wafilisti.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki