1 Mambo ya Nyakati 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Daudi akachukua shaba nyingi sana kutoka katika Tibhathi+ na Kuni, majiji ya Hadadezeri. Sulemani aliitumia kutengeneza ile bahari ya shaba+ na zile nguzo+ na vyombo vya shaba.+
8 Na Daudi akachukua shaba nyingi sana kutoka katika Tibhathi+ na Kuni, majiji ya Hadadezeri. Sulemani aliitumia kutengeneza ile bahari ya shaba+ na zile nguzo+ na vyombo vya shaba.+