1 Mambo ya Nyakati 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo Hanuni akawachukua wale watumishi wa Daudi,+ akawanyoa,+ akakata nusu ya mavazi yao mpaka kwenye matako yao,+ akawaacha waende zao.+
4 Kwa hiyo Hanuni akawachukua wale watumishi wa Daudi,+ akawanyoa,+ akakata nusu ya mavazi yao mpaka kwenye matako yao,+ akawaacha waende zao.+