1 Mambo ya Nyakati 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye akasema: “Ikiwa Wasiria+ watakuwa na nguvu mno kuliko mimi, basi wewe utaniokoa;+ lakini ikiwa wana wa Amoni watakuwa na nguvu mno kuliko wewe, mimi pia nitakuja kukuokoa.+ Methali 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa shauri mipango yenyewe hufanywa imara,+ na kwa mwongozo stadi endeleza vita vyako.+
12 Naye akasema: “Ikiwa Wasiria+ watakuwa na nguvu mno kuliko mimi, basi wewe utaniokoa;+ lakini ikiwa wana wa Amoni watakuwa na nguvu mno kuliko wewe, mimi pia nitakuja kukuokoa.+