13 Wakati huo Daudi akaendelea kuchukua masuria+ na wake+ zaidi kutoka katika Yerusalemu baada ya kutoka Hebroni; naye Daudi akaendelea kuzaa wana na mabinti zaidi.
9 Kwa nini umelidharau neno la Yehova kwa kufanya yaliyo mabaya+ machoni pake? Uria Mhiti umempiga kwa upanga,+ nawe ukamchukua mke wake awe mke wako,+ naye ukamuua kwa upanga wa wana wa Amoni.