Kutoka 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi Farao akamwambia: “Toka mbele yangu!+ Jiangalie! Usijaribu kuuona uso wangu tena, kwa sababu siku utakayouona uso wangu utakufa.”+ 2 Samweli 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akasema: “Vema! Mimi nitafanya agano pamoja nawe. Ila tu kuna jambo moja ambalo ninaomba kwako, nikisema, ‘Huwezi kuuona uso wangu,+ isipokuwa kwanza umlete Mikali,+ binti ya Sauli, utakapokuja kuuona uso wangu.’”
28 Basi Farao akamwambia: “Toka mbele yangu!+ Jiangalie! Usijaribu kuuona uso wangu tena, kwa sababu siku utakayouona uso wangu utakufa.”+
13 Naye akasema: “Vema! Mimi nitafanya agano pamoja nawe. Ila tu kuna jambo moja ambalo ninaomba kwako, nikisema, ‘Huwezi kuuona uso wangu,+ isipokuwa kwanza umlete Mikali,+ binti ya Sauli, utakapokuja kuuona uso wangu.’”