2 Samweli 14:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, mfalme akasema: “Acha ageuke, aende katika nyumba yake, lakini hatauona uso wangu.”+ Basi Absalomu akageuka, akaenda nyumbani kwake, wala hakuuona uso wa mfalme.
24 Hata hivyo, mfalme akasema: “Acha ageuke, aende katika nyumba yake, lakini hatauona uso wangu.”+ Basi Absalomu akageuka, akaenda nyumbani kwake, wala hakuuona uso wa mfalme.