2 Samweli 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katika Hebroni alitawala akiwa mfalme juu ya Yuda kwa miaka 7 na miezi 6;+ na katika Yerusalemu+ akatawala akiwa mfalme kwa miaka 33 juu ya Israeli yote na Yuda. 1 Wafalme 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na siku ambazo Daudi alitawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni+ alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+ 1 Mambo ya Nyakati 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kulikuwa na wana sita aliowazaa akiwa Hebroni; naye akaendelea kutawala huko miaka saba na miezi sita, naye akatawala katika Yerusalemu miaka 33.+ 1 Mambo ya Nyakati 29:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 na siku alizotawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+
5 Katika Hebroni alitawala akiwa mfalme juu ya Yuda kwa miaka 7 na miezi 6;+ na katika Yerusalemu+ akatawala akiwa mfalme kwa miaka 33 juu ya Israeli yote na Yuda.
11 Na siku ambazo Daudi alitawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni+ alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+
4 Kulikuwa na wana sita aliowazaa akiwa Hebroni; naye akaendelea kutawala huko miaka saba na miezi sita, naye akatawala katika Yerusalemu miaka 33.+
27 na siku alizotawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+