2 Samweli 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi Daudi alikuwa ameketi kati ya yale malango mawili.+ Na wakati huo mlinzi+ akaenda juu ya paa ya lango kando ya ukuta. Baada ya muda akainua macho yake, akaona, na tazama! palikuwa na mtu anakimbia akiwa peke yake.
24 Basi Daudi alikuwa ameketi kati ya yale malango mawili.+ Na wakati huo mlinzi+ akaenda juu ya paa ya lango kando ya ukuta. Baada ya muda akainua macho yake, akaona, na tazama! palikuwa na mtu anakimbia akiwa peke yake.