Zaburi 66:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwambieni Mungu: “Jinsi kazi zako zilivyo zenye kuogopesha!+Kwa sababu ya wingi wa nguvu zako, adui zako watakujia wakitetemeka.+ Zaburi 81:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na wale wanaomchukia Yehova vikali, watakuja kwake wakitetemeka,+Na wakati wao utakuwa mpaka wakati usio na kipimo. Mhubiri 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+
3 Mwambieni Mungu: “Jinsi kazi zako zilivyo zenye kuogopesha!+Kwa sababu ya wingi wa nguvu zako, adui zako watakujia wakitetemeka.+
15 Na wale wanaomchukia Yehova vikali, watakuja kwake wakitetemeka,+Na wakati wao utakuwa mpaka wakati usio na kipimo.
4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+