1 Wafalme 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 kama vile ambavyo nilikuapia kwa Yehova, Mungu wa Israeli, nikisema, ‘Sulemani mwana wako ndiye atakayekuwa mfalme baada yangu, naye ndiye atakayeketi juu ya kiti changu cha ufalme mahali pangu!’ hivyo ndivyo nitakavyofanya leo hii.”+
30 kama vile ambavyo nilikuapia kwa Yehova, Mungu wa Israeli, nikisema, ‘Sulemani mwana wako ndiye atakayekuwa mfalme baada yangu, naye ndiye atakayeketi juu ya kiti changu cha ufalme mahali pangu!’ hivyo ndivyo nitakavyofanya leo hii.”+