Zaburi 75:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Mungu ndiye mwamuzi.+Humshusha huyu, na kumwinua yule.+ Luka 1:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Amewashusha watu wenye nguvu+ kutoka katika viti vya ufalme na kuwainua watu wa hali ya chini;+