2 Kwa sababu ya makosa ya nchi wakuu wake hufuatana kwa wingi,+ lakini kwa sababu ya mtu mwenye utambuzi aliye na ujuzi wa lililo sawa, mkuu atakaa muda mrefu.+
25 Akijua fikira zao,+ akawaambia: “Kila ufalme uliogawanyika na kupingana wenyewe unaangamia,+ na kila jiji au nyumba iliyogawanyika na kupingana yenyewe haitasimama.