Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Mathayo 25:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Naye atawaweka kondoo kwenye mkono wake wa kuume,+ lakini mbuzi kwenye mkono wake wa kushoto.+
110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+