23 Ndipo Elkana mume+ wake akamwambia: “Fanya inavyoonekana vema machoni pako.+ Kaa nyumbani mpaka utakapomwachisha kunyonya. Ila tu Yehova na alitimize neno lake.”+ Basi mwanamke huyo akakaa nyumbani, akaendelea kumnyonyesha mwana wake mpaka alipomwachisha kunyonya.+