Yoshua 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 lakini hilo eneo lenye milima linapaswa kuwa lenu.+ Kwa kuwa ni msitu, ukateni, nalo liwe ndilo mpaka wa mwisho kwa ajili yenu. Kwa kuwa mnapaswa kuwafukuza Wakanaani, ijapokuwa wana magari ya vita yenye miundu ya chuma nao wana nguvu.”+
18 lakini hilo eneo lenye milima linapaswa kuwa lenu.+ Kwa kuwa ni msitu, ukateni, nalo liwe ndilo mpaka wa mwisho kwa ajili yenu. Kwa kuwa mnapaswa kuwafukuza Wakanaani, ijapokuwa wana magari ya vita yenye miundu ya chuma nao wana nguvu.”+