12 Kwa hiyo Sara akaanza kucheka ndani yake mwenyewe,+ akisema: “Baada ya mimi kuzeeka, kweli mimi nitapata raha, tena bwana wangu akiwa mzee vilevile?”+
6 kama Sara alivyokuwa akimtii Abrahamu, akimwita “bwana.”+ Nanyi mmekuwa watoto wake, mradi tu mnaendelea kutenda mema na kutokuwa na woga kwa sababu ya kitisho chochote.+