1 Wafalme 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Hiramu akatuma watu kwa Sulemani, akisema: “Nimesikia yale uliyotuma kwangu. Mimi nami nitafanya yote yanayokupendeza kwa habari ya mbao za mierezi na mbao za miberoshi.+ 2 Mambo ya Nyakati 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na ile nyumba kuu+ akaifunika kwa miberoshi, kisha akaifunika kwa dhahabu nzuri,+ halafu akaweka juu yake maumbo ya mtende+ na minyororo.+
8 Basi Hiramu akatuma watu kwa Sulemani, akisema: “Nimesikia yale uliyotuma kwangu. Mimi nami nitafanya yote yanayokupendeza kwa habari ya mbao za mierezi na mbao za miberoshi.+
5 Na ile nyumba kuu+ akaifunika kwa miberoshi, kisha akaifunika kwa dhahabu nzuri,+ halafu akaweka juu yake maumbo ya mtende+ na minyororo.+