5 Na Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wakisherehekea mbele za Yehova kwa namna zote za vyombo vya mbao za mberoshi na kwa vinubi+ na kwa vinanda+ na kwa matari+ na kwa matasa na kwa matoazi.+
15 Naye akajenga kuta za ndani za nyumba kwa mbao za mierezi. Kuanzia sakafu ya nyumba mpaka kwenye maboriti ya dari akaifunika kwa mbao ndani; naye akaifunika sakafu ya nyumba kwa mbao za miberoshi.+