Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wakisherehekea mbele za Yehova kwa namna zote za vyombo vya mbao za mberoshi na kwa vinubi+ na kwa vinanda+ na kwa matari+ na kwa matasa na kwa matoazi.+

  • 1 Wafalme 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye akajenga kuta za ndani za nyumba kwa mbao za mierezi. Kuanzia sakafu ya nyumba mpaka kwenye maboriti ya dari akaifunika kwa mbao ndani; naye akaifunika sakafu ya nyumba kwa mbao za miberoshi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na ile nyumba kuu+ akaifunika kwa miberoshi, kisha akaifunika kwa dhahabu nzuri,+ halafu akaweka juu yake maumbo ya mtende+ na minyororo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki